AKPAN, KAPAMA BADO NI MALI YA SIMBA

Beti sasa kupitia http://sokabet.co.tz/

AKPAN, KAPAMA BADO NI MALI YA SIMBA

Hivi karibuni kumekuwa na Tetesi kuhusu Kocha mkuu wa Simba spoti Klabu Zoran Maki, kutowahitaji wachezaji kadhaa kutoka kwenye kikosi cha Simba ikiwemo Nassoro Kapama pamoja na Victor Akpan lakini hadi hivi sasa Akpan na Nassoro bado mali ya msimbazi

Hayo yamethibitishwa na Msemaji wa klabu hiyo Ahmed Ally ambaye amesema kuwa Akpan pamoja na Kapama bado ni mali ya simba na wamesafiri pamoja na wachezaji wengine kuelekea Sudan kwaajiri ya michezo ya kirafiki na Asante Katoko pamoja na Al Hilal.

Victor Akpan alisajiliwa na klabu ya Simba akitokea Klabu ya Costal Union huku Nassoro Kapama akitokea Kagera Sugar, Tetesi za kuondolewa wachezaji hawa zilihusianishwa na kupisha usajili wa mchezaji kutoka Vipers Uganda Cesar Manzoki.

Lakini Msemaji huyo amefafanua kuwa dirisha la usajili kwa klabu hiyo lilifungwa tarehe 7/8 huku Dejan Georgijevic(Mzungu) ndie alikuwa mchezaji wa mwisho kusajiliwa na klabu hiyo.

Kwasasa ligi kuu Tanzania bara imesimama kidogo kupisha mchezo wa kufuzu mashindano ya CHAN kati ya Tanzania na Uganda, kampuni bora ya kubet Tanzania Sokabet, bado inakupa nafasi ya kuweka bashiri katika michuano mingine ya nje ya nchi kama EPL, Laliga na michuano mingine.

Mbali na Hapo Sokabet inakupa nafasi ya kuweka bashiri zako kupitia michezo ya casino kama Zepellin, live Casino na michezo mingine mingi tembelea tovuti ya sokabet au bofya *149*35# kuweza kujiunga sasa.

Furahia ushindi mnono wenye bonus asilimia nyingi  kupitia kampuni la Sokabet pekee, best in Sports betting Tanzania.