NAFASI za kazi Yapı Merkezi 2023 Tanzania

In this post, you will get all information about NAFASI za kazi Yapı Merkezi 2023 Tanzania, Job Vacancies at Yapı Merkezi Tanzania 2023,Yapı Merkezi Tanzania email address, Jinsi YA kuomba kazi Yapı Merkezi,Nafasi za kazi Lot 3, Yapı Merkezi Tanzania Jobs 2023, NAFASI za kazi Yapı Merkezi Dodoma.

Read also: 75 Job Vacancies at Ardhi University (ARU)

Table of Contents

Yapı Merkezi Tanzania Jobs 2023 | NAFASI za kazi Yapı Merkezi 2023

Yapı Merkezi is constructing the fastest railway in East Africa. The first phase of the 1,224 km total line, the 202 km long Dar Es Salaam – Morogoro Railway Project, is the most critical part of the project.

Recommended:

When the 5-part line is completed, it will connect Uganda, Rwanda, Democratic Republic of Congo and Tanzania, and provide access to the Indian Ocean for all related countries.

NAFASI za kazi Yapı Merkezi 2023 Tanzania

How to Apply For Job Vacancies at Yapı Merkezi Tanzania 2023

Please send your CV only without attaching a certificate or other letters, Certificates and other letters will be requested once the CV has been reviewed. Please send your Yapı Merkezi application via Email to: [email protected]

Yapı Merkezi Tanzania email address

The Yapı Merkezi Tanzania email address is [email protected] for hr

IMPORTANT NOTE | Jinsi YA kuomba kazi Yapı Merkezi

Jinsi YA kuomba kazi Yapı Merkezi use the following guidelines;

  • Only your CV must be shared with us
  • Do not attach any application letters or education diplomas or certificates.
  • These documents will be requested once your application will be shortlisted.

PLEASE BEWARE | Nafasi za kazi Lot 3 | NAFASI za kazi Yapı Merkezi Dodoma

Yapi Merkezi does not work with any recruitment company or individual recruiters!
Yapi Merkezi does not charge or collect any amount for job application or employment! Take precautions and report to the relevant authorities about any illegal activity regarding employment!

Yapı Merkezi Tanzania Jobs | Nafasi za kazi Lot 3

Find all Yapı Merkezi Tanzania Jobs,Nafasi za kazi Lot 3 through this page frequenly

(These vacancies are only for Tanzanian Nationals).

Related Articles

28 Comments

  1. Naomba kazi ya udereva katika kampuni yeni, Mimi nikijana wa kitanzania mwenye umri wa miaka (33). Ninauzofu wakutosha, Pia nina vyeti vya truck. Niko Tarime -mara Tanzania

  2. Naitwa Ally Hamisi nipo Tabora wilaya ya Urambo ni dereva wa gari ndogo ninauzoefu wakutosha kwani nimesha fanya kazi na kampuni mbalimbali ikiwemo kampuni ya ceylex engineering (Pvt.)ltd na pia ni fundi umeme katika kazi nauzoefu wa kutosha kwani mpaka sasa namiaka kumi na tatu kwenye kazi hivyo natumai ombi langu litapokelewa no 0759887318 na 0683630722 asante sana wako ktk ujenzi wa taifa

  3. Naitwa Emmanuel John msyani nipo Sumbawanga,Ninaomba kazi ya UDELEVA kwenye kampuni yako,nina uzoefu wa kutosha kwenye fani hiyo,mimi nikijana mwenye umri wa miaka 36, ninauzoefu wa kuendesha gari kubwa na ndogo,natumaini ombi rangu ritafanyiwa kazi.+255763875655(+255656769433).

  4. kwa majina naitwa dickson Brastus Kangalawe,ninaomba kaz ya udreva wa Loti/Yopa,nina uzoefu katika kazi hii wa muda wa miaka 13,nina umri wa miaka 36

  5. kwa majina ninaitwa dickson Brastus Kangalawe,nina umri wa miaka 36,ninaomba kaz ya udreva wa Loti/tipa ninauzoefu wa miaka 13 katka kaza hii,Elima yangu ni form four,no0766818197/0653778455

    • Naitw juma james nimkaz wa tabora mjin kata ya kilolen naomb kaz ya dreva nauzoefu zaid ya miak6 kweny kaz hio ya dreva wa gali hiace ya abilia pia nifund wa magali nauzofu mkubw san katik kaz hy natumain ujumbe wangu umefika no/0719581864/0787977323

  6. Naomba kazi ya udereva wa gari za mradi sgr nina uzoefu wa kutosha kwa gari zote ndogo kasoro za mizigo

  7. Maombi ya kaz ya dleva ninauzoefu wa miak 6 kwenye kampuni jambo pia nifundi we uchomeleaji we gesi ninauzoefu wa miak 4 nipo tabora kata ya kilolen no/ 0787977323/0719581864

  8. Naitwa Raymond nipo dodoma naomba kazi ya ufundi chuma steel fixer nauzoefu na kazi hiyo nanimeshafanya kazi na makampuni mengi Kama crje, ccecc, Hainan pamoja na bejn namb yangu ni 0683790121, 0621166521

  9. Naitwa james antony matei motor greda oparator ninauzoefu wa miaka mitatu namba za sm 0615133823

  10. Mimi omary athuman ni fundi engene wa magari makubwa Kwa madogo ninauzoefu mkubwa wa magari ayo naomba kutumia nafasi hii kuomba kazi kwenu matumaini yangu naweza kukubaliwa ombi langu hili LA kazi Niko tabora nzega 0kitangili 0654462638

  11. Naitwa Leonard Fabian mbeyu naishi tabora Ni dreva wa track na gali ndogo ninavyeti na uzoefu pia kwani Nisha fanya kazi kwenye makampuni, ya ukandarasi ambayo Ni Hematek,chiko,sumry naomba kazi kwenye kampuni yenu namba yangu Ni 0786538528 au 0621996539

Leave a Reply

Your email address will not be published.


*